Apr 26, 2016

KUJUA KAMA SIMU YAKO NI ORIGINAL AU FEKI

Kabla hujanununa simu mpya hakikisha unaandikanamba hii *#06# , itaonyesha namba ya pekee (serialnumber ) au IMEI (International Mobile EquipmentIdentity) namba ambayo ni lazima ziwe namba 15 au zaidi, na nilazima ianze na namba 35.

1. Sasa angalia kwa makini kama namba unazoziona zinafanana moja kwa moja na namba zilizoandikwa katika simu sehemu ambayo betri inakaa (battery base). Namba hizi zinapaswa kufanana kwa simu ambayo ni origino.

2. Simu yaweza kuwa origino lakini katika viwango nya ubora(qualities) tofauti . Sasa tunaanza kuchambua IMEI ili kujua ubora. Katika namba hizo namba ya saba(7) nay a name(8) ndizo zinazohakikishaubora wa simu yako.

• Kama namba ya saba nay a nane ni 00 inamaana kuwa simu yako imetengenizwa kwa ubora wa juu kabisa katika viwanda vya kuaminika.

• Kama namba ya saba na y a nane ni 01 au 10 inamaana sumu yako imetengeneza Finland na inaubora wa juu pia.

• Kama namba ya saba na y a nane ni 13 inamaanasimu yako imeunganishwa katika nchi ya Azerbaijan na ni hatari sana kwa matumizi na afya yako.

• kama namba ya saba na ya nane ni 02 au 20 inamaana simu yako imeunganishwa katika nchi ya Emirates hivyo ina kiwango cha chini sana.

• Kama namba ya saba nay a nane ni kati ya 03 au 30 au 04 au 40 inamaana simu yako imetengenezwa China lakini ina ubora mzuri ila haijafikia zile zenye 00 , 01 au 10.

• Kama namba ya saba nay a nane ni 05 au 50 inamaana simu yako imatengenezwa labda Brazil ama USA ama Finland.

• Kama namba ya saba na ya nane ni 06 au 60 simu yako imetengenezwa Hong Hong, China au Mexico.

• Kama namba ya saba nay a nane ni 08 au 80 simu yako imetengenezwa Germany na ina ubora wa kawaida.Unaweza pia kuangalia simu uliyonayo sasa kujua kama unatumia simu origino au feki na yenye kiwango gani.Utafiti huu unatoka katika nyanzo nya kuaminika na kama una swali au maoni tafadhali andika comment hapa chini tutakujibu haraka iwezekanavyo

JINSI YA KUPATA MTAJI NA NAMNA YA KUTUMIA MTAJI KATIKA BIASHARA MTAJI


Mtaji ni kitu chochote ambacho unaweza kutumia katika kuzalisha kitu kingine kwa lengo la kupata faida.Biashara oyote iwayo lazima ianze na mtaji. Kuna aina tano za mitaji kama ifuatavyo:-

1. Mtaji wa fedha( financial capital)

2. binadamu mwenyewe( human capital) vitu kama ujuzi, elimu na kufanya kazi kwa bidii.

3. Jamii ( social network capital) ushirikiano na watu wengine katika biashara

4. utamaduni halisi wa mjasiliamali- utamaduni wa kufanya kazi kwa bidii,historia ya familia

5. fani au utaalamu  katika jambo flani

JINSI YA KUPATA MTAJI.
hapa tunaangalia vyanzo vya mtaji kwa mjasiliamali. Wajasiliamali wengi wanapata changamoto kubwa katika kupata mitaji ya kuanzishia biashara. nivigumu kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji wa kutosha,hivyo basi mtaji ni muhimu sana lakini mtaji pekeyake hautoshi kuanzisha biashara ni lazima uwe na elimu ya ujasiliamali ili uweze kufanikiwa katika biashara. kuna njia mbalimbali za kupata mtaji na njia hizo zimegawanyika katika mafungu mawili ambayo ni chanzo cha ndani na chanzo cha nje.
Chanzo cha ndani ( internal sources of capital)
1. Mtaji   toka kwa mjasiliamali mwenyewe. huu ni mtaji ambao mjasiliamali anakuwanao kabla hajaanza biashara. huu ni mtaji bora sana kwani humilikiwa na mjasiliamali mwenyewe na hatakiwi kurudisha rejesho hata baada ya kupata faida.

2. Mtaji ambao unapatikana wakati biashara injiendesha. faida inayopatikana katika biashara inaweza kutumika kama mtaji. njia hii ndio huchangia kukua kwa biashara.

3. hisa. baadhi yawajasiliamali wanaweza kuamua kuwekeza katika hisa za makampuni. uwekezaji katika hisa husaidia kupata mtaji pale ambapo kampuni litagawa faida kwa wanachama waliowekeza katika hisa. pia mjasiliamali anaweza kupata mtaji kwa kuuza hisa kwa mtu mwingine au muwekezaji wa nje.

chanzo cha nje ( external sources of capital)
hapa tunaangalia mtajia ambao mjasiliamali anaweza kuupata toka nje ya yeye mwenyewe. baadhi ya vyanzo    hivyo ni kama ifuatavyo.

1. mkopo toka benki
huu ni mkopo ambao ulipaji wake ni wa muda mrefu.viwango vyariba si vikubwa sana ambavyo mjasiliamali anaweza kumudu kulipa endapo biashara itafanikiwa. mikopo ya benki inahitaji dhamana ya vitu visivyo hamishika mfano nyumba, shamba nk.