May 18, 2016

VANESA MDEE NA SHILOLE WALUSHIANA MATUSI INSTAGRAM

Ni juzi tu tuliona video ya msanii wa kimataifa vanessa mdee akimfundisha yai local artist Shishi baby salon cha ajabu ni leo ghafla wamenza kutupiana maneno uko instagram.

shilole alianza na ujumbe wa kwanza hapo chini Haikuchukua mda nae vanessa mdee amendika maneno hayo chini kupitia instagram account yake
        
"Nikupe KICKIII ujulikane au                  sio? Kila siku twanyamaza                  ndiyo mtugaragaze. Sit the                 f**k down.

Mimi sio wale uliowazoea. P.s: You ain't worth this post inashushwa sasa hivi"#MessageSent