Ni juzi tu tuliona video ya msanii wa kimataifa vanessa mdee akimfundisha yai local artist Shishi baby salon cha ajabu ni leo ghafla wamenza kutupiana maneno uko instagram.
shilole alianza na ujumbe wa kwanza hapo chini Haikuchukua mda nae vanessa mdee amendika maneno hayo chini kupitia instagram account yake
"Nikupe KICKIII ujulikane au sio? Kila siku twanyamaza ndiyo mtugaragaze. Sit the f**k down.
Mimi sio wale uliowazoea. P.s: You ain't worth this post inashushwa sasa hivi"#MessageSent