Jun 14, 2016

WAISLAMU WASAIDIA WAKRISTO KUJENGA KANISA

       Mji mmoja nchini Pakistan katika jimbo laPunjab, ambao ulipata umaarufu kutokana na vurugu zake dhidi ya makundi ya jamii ndogo umeleta watu pamoja kwa njia isiyo ya kawaida.Wakulima maskini wa Kiislamu katika kijijicha Gojra wanachanga fedha ili kusaidia katika ujenzi wa kanisa kwenye eneo lao.Lakini hali hii ya kuelewana na kuvumiliana kweli itawezekana katika eneo ambalo mara nyingi hutokea fujo zakidini

No comments: