May 11, 2016

KASI YA MAGUFULI YAWAANDIKISHA BARUA ZA KUJIUZURU WATUMISHI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na

Simbachawene amesema kasi ya Rais Dkt John

tayari watumishi wameanza kuandika barua za kuomba kujiuzulu na kutafuta kazi sehemu nyingine.

Waziri Simbachawene ameyasema hayo ingawa hajataja majina ya watumishi hao na halmashauri wanazotoka, katika kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV na

ameshapokea

kutoka

watatu

ambao hawana

kiutendaji

barua ya kuomba kuachia kazi hizo.

”Kasi ya Rais Dkt. Magufuli haitawaacha watumishi

kufanya kazi kwa maana mazoea kazini hayapo

nimeshapokea

watatu wakiomba kujiuzulu nyazifa zao na kweli kama kuna kiongozi anaona hataweza kwenda na kasi ya Rais na Wizara yangu ni bora aondoke mapema kabla

nitawatumbua

Chawene.

No comments: