Sep 7, 2016

UDICTETA UCHWARA NDIO HUU

TUNAJIFUNZA NINI KUTOKA IVORY COAST??

By bukuku tz,

Huyu anayevutwa na Askari sio kibaka, sio mwizi, sio mfuasi wa chama cha upinzani ambao wengi wamezoea kuonewa bila sababu. Huyo ni Rais wa nchi. Ni Rais wa zamani wa Ivory Coast Ndg.Laurent Gbagbo.

Kwa taaluma ni Gbagbo Mkemia, lakini kabla ya kusomea masuala ya kemia alikua mwalimu wa shule ya sekondari. Alipata PhD yake ya Kemia mwaka 1979 kutoka chuo kikuu cha Paris Diderot University (Ufaransa).

Hakuwahi kufikiria kuwa Rais wa nchi hiyo licha ya kujaribu kugombea mara kadhaa. Alipata nafasi ya urais kibahati bahati baada ya kiongozi wa mapinduzi wa nchi hiyo Jenerali Robert Guéï kukata jina la mtangulizi wake Henri Konan Bédié, pamoja na jina la Waziri Mkuu wa zamani aliyekua anapewa nafasi kubwa ya kushinda Ndugu Alassane Ouattara.

Wakati Gbagbo akigombea Urais wa nchi hiyo alijipambanua kama mtetezi wa wanyonge, mpenda demokrasia, mtu anayeumizwa na matatizo ya watu maskini, na mpenda haki. Alijipambua kama mtu wa "KAZI" kwa ajili ya kuinua maisha ya watu maskini. Akajinasibu kujenga viwanda hasa vya Cocoa, kahawa na mafuta yanayochimbwa nchini humo.

Lakini alipoingia madarakani akaanza kukandamiza demokrasia, kubana vyama vya upinzani, kubana vyombo vya habari, kupandisha kodi hadi kwenye bidhaa zinazotegemewa na watu maskini. Akaanza kutoa upendeleo kwa watu wa familia yake na kuteua ndugu zake kushika nafasi za juu katika wizara na idara za serikali.

Akamkamata na kumuweka kizuizini Waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Ndugu Alassane Ouattara kwa sababu aliamua kujiunga na chama cha upinzani cha Republican. Akasahau kwamba wakati Ouattara akiwa Waziri mkuu yeye alikua Mbunge tu ktk serikali Félix Houphouët-Boigny. Licha ya wafuasi wa chama chake kukamatwa bila sababu, Oattara hakuweka kinyongo. Bado alisalimiana na Gbagbo na kumheshimu kama Mkuu wa nchi.

Lakini Gbagbo akalewa madaraka. Akafikia hatua ya kuona kwamba yeye ndiye mtu pekee aliye sahihi katika nchi hiyo na maneno yake ni sheria. Akapuuza katiba ya nchi. Akaagiza kukamatwa kwa vijana wengi waliokua wafuasi wa vyama vya upinzani wanaomkosoa. Akapiga marufuku maandamano ya kisiasa.

Baadhi ya raia wa Ivory Coast wakalalamika kuwa Rais wao ameanza kuwa "Dikteta". Lakini kila aliyesikika akimuita Gbagbo dikteta aliishia korokoroni. Hatimaye Gbagbo akawa ndiye msemaji wa mwisho, mwenye nguvu na mamlaka juu ya mambo yote na kauli yake haitakiwi kupingwa wala kusahihishwa.

Ziara yake ya kwanza nje ya nchi alimtembelea Rais wa Burkina Fasso, swahiba wake Blaise Compaoré ambaye alikua na elements za udikteta. Compaore ndiye aliyemuua Thomas Sankara (the true son of Africa) na kujitangaza Rais mwaka 1987.

Kwahiyo Gbagbo aliporudi na kuanza kuongoza nchi yake kibabe, kukamata wanaomkosoa na kufungia vyombo vya habari, wananchi wakajua ni matokeo ya urafiki wake na dikteta Compaore.

Hali ya uchumi ya Ivory Coast ikazidi kudorora siku hadi siku. Watumishi wengi wa umma hawakulipwa mishahara yao kwa wakati, wawekezaji wengi wa kigeni wakafunga biashara, hakukua na nyongeza ya mishahara kwa watumishi lakini nyongeza ya kodi ilikua kwenye kila bidhaa na huduma.

Rais Gbagbo akapandisha ushuru/kodi katika Bandari ya Abidjan. Wafanyabiashara wengi wa nchi za Burkina Fasso na Mali wakaanza kupitisha mizigo yao kwenye bandari za Togo, Benin, na Liberia. Rais Gbagbo aliposhauriwa na wachumi juu ya athari ya maamuzi yake alikua mkali na kutishia kuwafukuza kazi waliomshauri. Alisema ni heri zije meli chache zenye kulipa kodi kubwa kuliko meli nyingi zenye kulipa kodi ndogo.

Hatimaye idadi ya meli zinazotua katika bandari ya Abidjan zikaanza kupungua kutoka meli zaidi ya 35 kwa mwezi hadi wastani wa meli 8 hadi 12 kwa mwezi (ingia hapa  http://www.marinetraffic.com/en/ais/index/eta/all/port:1150/portname:ABIDJAN). Pia mapato ya bandari yakaanza kupungua. Kilimo cha Cocoa ambalo ni zao kuu la biashara nchini humo kikaanza kuporomoka na uzalishaji wa mafuta ukaanza kupungua.

Uchumi ukazorota na hali ya maisha ikazidi kuwa ngumu. Rais Gbagbo akadhani watu wameficha pesa majumbani kwao, kumbe ni matokeo ya mfumo wa uchumi alioutengeneza mwenyewe.

Lakini wakati hayo yote yakiendelea, mamlaka ya mapato ya Ivory Coast (Cote' d’Ivoire General Direction of Taxes) ikawa inatangaza kukusanya mapato makubwa na kuvuka lengo kila mwezi. Wananchi wakajiuliza hayo mapato yanaenda wapi kama watumishi hawalipwi mishahara, huduma muhimu za jamii zimeongezwa kodi, madai ya watumishi hayafanyiwi kazi, miundombinu haijengwi, hospitalini hakuna madawa, benki zimesitisha mikopo, na Rais mwenyewe analalamika pesa haipo katika mzunguko. Je hayo makusanyo makubwa ya kodi yanatoka kwenye vyanzo vipi, na yanatumikaje mbona maisha yanazidi kuwa magumu?

Hatimaye mwaka 2010 wananchi wa Ivory Coast wakashindwa kuendelea kuvumilia shida, manyanyaso, ubabe, hali ngumu ya maisha, ukandamizaji wa demokrasia, na udikteta uchwara wa Rais Laurent Gbagbo. Kwenye uchaguzi mkuu wa November 28 mwaka 2010 wakamchagua Waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo (kipenzi cha watu, mtu asiye na visasi) Alassane Ouattara kwa asilimia 54.1% ya kura zote halali.

Tume HURU ya uchaguzi ya nchi hiyo, Ivorian Election Commission (CEI) ikamtangaza mgombea wa upinzani ndugu Ouattara kuwa mshindi wa kiti hicho cha Urais. Lakini Rais Gbagbo akakataa kuachia madaraka. Akajitangaza kuwa yeye ndiye mshindi na akadai kuwa amepata asilimia 51% ya kura zote halali.

Baada ya kujitangaza mshindi akatangaza pia kuivunja tume ya uchaguzi (CEI) na akatangaza kutotambua matokeo ya Tume hiyo. Pia akatoa amri kwa jeshi la nchi hiyo kufunga mipaka yote ya nchi (ya kuingia na kutoka) na akafukuza waandishi wote wa habari kutoka vyombo vya habari vya kimataifa waliokua wakiripoti uchaguzi huo. Akazifungia Radio na magazeti yote ya nchi hiyo yaliyotangaza kuwa ameshindwa uchaguzi.

Lakini wananchi wakaungana kupinga hatua hizo za kidikteta za Rais Gbagbo. Wakaaondoa tofauti zao za kidini, kikabila na kikanda kama ambavyo wamekuwa wakigawanywa na wanasiasa kwa muda mrefu. Wakaamua kuungana kwa pamoja kupinga maamuzi hayo. Wakristo ambao wengi wapo kusini mwa nchi hiyo na waislamu ambao wapo kaskazini wakaweka tofauti zao chini na kuungana kwa pamoja kupinga udikteta uchwara wa Rais Gbagbo.

Maandamano makubwa ya kumshinikiza Gbagbo kuachia ngazi yakafanyika katika mji mkuu wa Abidjan na kuzingira Ikulu yake. Japo mwanzoni Polisi waliuwa raia walioandamana lakini haiwakukatisha tamaa wengine kuingia barabarani. Hatimaye kufikia Aprili 10 mwaka 2011 Rais Gbagbo akawa amezingirwa na maelfu ya watu katika Ikulu yake. Watu wenye hasira ya uonevu aliowafanyia, watu wenye uchungu wa kuumizwa na kunyanyaswa, watu wenye kiu ya demokrasia.

Gbagbo akajua siku yake ya kiyama imefika, hofu ya mauti ikamvaa. Ikulu aliyoiona kama "paradiso" yake, ikageuka kuwa "bonde la uvuli wa la mauti". Akaomba msaada kwa walinzi wake wamtoroshe. Lakini walinzi wakashindwa kumtorosha kutokana na msongamano mkubwa wa wananchi waliozingira Ikulu.

Wananchi waliokua wamezingira Ikuku hiyo wakadai kuwa wanamtaka Gbagbo atolewe nje wamuadhibu kwa mikono yao wenyewe vinginevyo watachoma Ikulu hiyo afie ndani. Hatimaye serikali ya Ufaransa (mkoloni wa zamani wa Ivory Cost) ikatoa helcopter maalumu na makomandoo kadhaa kwenda kuepusha maafa ambayo yangeweza kutokea.

Makomandoo hao wakafika Ikulu ya Gbagbo na kumkuta amejificha uvunguni mwa kitanda kwenye handaki la chini kwenye ikulu hiyo akiwa na mkewe Simone Gbagbo. Wakamtoa na kuondoka nae. Wakamuepusha na "mauti" kutoka kwa raia wake.

Hatimaye Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo (kipenzi cha watu) Alassane Ouattara akatangazwa na kuapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo. Na Gbagbo akapandishwa kizimbani ICC ambako anakabiliwa na makosa ya uhalifu dhidi ya binadanu (crimes against humanity), ikiwa ni pamoja na mauaji ya wapinzani wake, ubakaji, vitisho/ubabe na ukiukwaji wa utawala wa sheria (murder, rape and persecution).

#Umejifunza_nini?

Aug 9, 2016

MWANAUME ALIYEPORWA MWANAMKE NA NUHU MZIWANDA AJITOKEZA HADHARANI

Ubuyu wa mjini unanyetisha kuwa, mkali wa Bongo Fleva anayetamba nawimbo wake wa Jike Shupa aliomshirikisha Ali Kiba, Natfal Mlawa‘Nuh Mziwanda’, anadaiwa kupora demu wa jamaa ambaye naye ni msanii wa wa Bongo Fleva, Valentino Michael ‘Vale wel’.Mrembo anayedaiwa kuporwa kwa Vale ni yule Nawali ambaye kwa sasa Nuh anamnadi kuwa ni mpenzi wake wa kiyama.Ubuyu ulionaswa na Wikienda ulidadavua kuwa mwenye demu wakealipigwa na butwaa alipomuona Nuh akimnadi Nawali kwenye mitandao yakijamii ndipo akang’atwa sikio kuwa kwa sasa hana chake kwani ‘mtoto’ yupo mikononi mwa Nuh.Akimwaga chozi mbele ya Wikienda, Vale alisema kuwa mpaka sasa hajaelewa ni kwa nini Nuh ameamua kumtangaza Nawali kuwa ni mpenzi wake wakati akijua wazi kwamba ni shemeji yake na ni mwanamke wake wa siku nyingi kwani wanafahamiana.“Kiukweli nilikuwa sijui hili wala lile. Nilipoingia mitandaoni nilipigwa na butwaa kumuona Nuh akijitangazia ufalme kuwa mpenzi wake kwa sasa ni Nawali.“Mwanzoni nilijua labda ni mambo ya kiki kwa sababu nijuavyo Nuh hana malengo mazuri na Nawali.“Baadaye ndipo nikawa nahakikishiwa na watu wangu wa karibu kuwa ni wapenzi na hawafanyi kificho.“Kinachoniumiza nilikuwa sina tatizo wala ugomvi wowote na Nawali na bado naamini ni mpenzi wangu kwa sababu hatujaachana na tukikutana huwa tuko kama kawaida,” alisema Vale.
MWENYE KISU KIKALI?
Vale alizidi kutokwa povu kuwa kwa sasa hasemi sana kwa sababu hana mkwanja wa kumpa Nawali hivyo ule usemi wa mwenye kisu kikali unamtafuna kwani inawezekana Nuh anatumia vijisenti alivyonavyo kumnyang’anya tonge mdomoni.“Lakini ukweli ni kwamba ‘nafaiti’ na mambo yatakaponinyookea nitahakikisha nafanya kila njia kumrudisha Nawali kwenye himaya yangu kwani ndiye mwanamke wa maisha yangu.“Najua nilipomtoa, ni mwanamke ambaye ninampenda sana na nimetumia muda mwingi kumbadilisha kimuonekano kwani mwanzoni hakuwa alivyo sasa, alikuwa mgumu hivyo nimefanya jitihada za hali ya juu kumfanya aonekane ‘soft’,” alimalizia Vale.Mwanaume anayedai kuibiwa akiwa na niwale enzi zaoHUYU HAPA MTUHUMIWA NUHBaada ya ubuyu huo ulionyooka kutua kwenye Wikienda, waandishi wetu walimweka ‘mtukati’ Nuh aliyedai kuwa hapendi kumuongelea mpenzi wake huyo kwa sababu kama ni maneno yameshasemwa mengi.“Unajua kuhusu huyu demu wangu, maneno mengi sana yamesemwa hadi nimechoka. Kama huyo mwanaume yupo na anaamini ni mwanamke wake basi amchukue akakae naye,” alisema Nuh akiomba kuachwa atulize mawazo.
NAWALI ANASEMAJE?Kwa upande wake Nawali, alipotafutwa kwa njia ya simu alisema kuwa hamjui Vale na wala hajawahi kupiga naye picha za kimahaba ambazo gazeti hili lina nakalazake.Habari kutoka kwa Wana-Ubuyu wanaolinyaka vilivyo sakata hilo wanadai kwamba Vale ana uhakika kuwa huyo ni mpenzi wake na picha ametoa wakiwa wawili tena kimahaba hivyo inakuwaje Nawali anabisha?
HUYU NDIYE NUHMbali na Nawali, baada ya kufungishiwa virago na Zuwena Mohammed ‘Shilole’, Nuh alitua kwa mrembo mwingine shombeshombe ambaye hata hivyo hawakudumu

Jul 21, 2016

Video:MWANAMKE ALIYE LETEWA PICHA ZA UTUPU KWENYE BOX LA ZAWADI SIKU YAKE YA HARUSI.

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE ALIYELETEWA PICHA ZAKE ZA UTUPU SIKU YA HARUSI YAKE,PICHA ALIZOPIGA NA BWANA WAKE WA ZAMANI

Jul 14, 2016

BONYEZA HAPA KUANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA


http://maktaba.tetea.org/exam-results/ACSEE2015/alevel.html

Ni kweli najiuza lakini nay sio type yangu

Gigy Money amedai kuwa lisemwalo lipo kuwa yeye ni msichana anayejiuza, lakini Nay wa Mitego si mwanaume wa type yake.Wawili hao wamekuwa wakirushiana vijembe tangu Gigy amshutumu Nay kwa kutomlipa ujira wake baada ya kumtumia kama model kwenye video ya wimbo wake, Shika Adabu Yako.Nay anadai kuwa Gigy hana lolote zaidi ya kujiuza tu mjini.“Of course inawezekana najiuza lakini wapo wa kuninunua sio typeyangu yeye kwasababu dau langu mimi yeye ni kula miaka mitatu,” Gigy alimuambia mtangazaji wa Jembe FM, JJ.“Kwahiyo sikatai mtu kusema najiuza kuniita malaya au vyovyote. Na kweli mimi najiuza ndio maana yeye akaninunua mara mbili kwenye nyimbo zake sababu I am a video vixen na nipo kwaajili ya hiyo kazi. Kwahiyo najiuza of course ndio maana amefanya na mimi video mbili hajaoni watu wengine?” amehoji.“Aliniahidi hela kwenye makubaliano ndio hana pesa ya kunilipa, so sishangai kusema najiuza.”Gigy ameendelea kusisitiza kuwa anamfananisha rapper huyo na muimba mipasho na anaamini kuwa anatafuta ‘kiki’ kupitia kwake!

Why Leicester City should have let Jamie Vardy leave this summer

June, word leaked that Jamie Vardy had turned down the opportunity to move to Arsenal. The England international insteadchose to sign a new contractand stay with his Premier League-winning pals in Leicester, signing his second contract extension in about six months. His original deal, signedin February at £80,000 per week, included a £22 million release clause that Arsenal triggered with their offer. This deal reportedly includes a pay bump to £100,000 per week and likely includes either a larger release clause or no clause at all.It's a victory for Leicester to keepone of their three key contributors fromlast year's miracle. Along with Riyad Mahrez and N'Golo Kante, Vardy performed at the highest possible level last season, scoring 24 goals en route to being named Premier League player of the season. Leicester had no like-for-like replacement for the pacey striker in their teamlast year, and it was a small miracle that he stayed healthy for the vast majority of the season. It would cost £40m (if not more) to sign a striker who would be likely to perform at the level Vardy did last season.The longtime Leicester supporterin me looks at Vardy and thinks that he's irreplaceable, that Leicester can't possibly sell a player who was so integral to theteam's title run. At the same time,the sober observer in me thinks that it would have been far smarter for Leicester to sell high on their prized asset and let him leave for Arsenal. As painful as itmight be to imagine, Leicester might be better off with Vardy wearing red and white next season.Truthfully, as I think about it from Arsenal's perspective, they might also be lucky that Vardy chose to stay.It doesn't help that, like many of his teammates, Vardy failed to impress during England's disastrous Euro 2016 campaign. He did chip in the equalizer against Wales, but it was off a mishit by Wales defender Ashley Williams while Vardy was standing in an otherwise offside position.Vardy turned down Arsenal's offer and instead accepted an improved contract from Leicester; why would the Foxes have been wise to encourage Vardy to move to North London? Let's run through the reasons.2015-16 was a remarkable outlierIt would be wrong to say that Jamie Vardy was necessarily lucky last season. ESPN FC contributor Michael Caley calculatesexpected goals (xG)for each player in the Premier League based on Opta data and by those numbers, Vardy's scoring figures were right in line with expectations given the positions he was in and the shots he took. In 3,140 minutes, Vardy scored 19 goals from free play; a typical striker would have produced 18.8 xG from those same opportunities. He did get toattempt six penalties (convertingfive) -- more than 16 otherteamsin the Premier League -- but he wasn't producing impossible or unsustainable finishes on a weekly basis.At the same time, this is far morethan Vardy's ever produced. Lastyear, in 2,247 minutes over 34 matches, he scored just five goals and produced 8.0 xG. In Vardy's two years in the Championship with Leicester, he scored 20 goals over a combined63 matches. The last time he scored at this sort of rate, he wasplaying for Fleetwood Town in the Conference.There was never a point where anybody thought he was a world-class striker until the 2015-16 season. That includes Leicester, which have repeatedly signed strikers and played them ahead of Vardy. They reportedly paid £1m for Vardy, a relatively large figure for a non-league player, and then subsequently signed the likes of Chris Wood (£1.25m) and Andrej Kramaric (£9m, a club record) in the hopes of finding a younger, more gifted poacher.In the winter, Leicester were linked to speedy CSKA Moscow forward Ahmed Musa and this summer, they were able to complete a £16m deal for him. They've also spent serious sums of money on battering rams like Leonardo Ulloa (£8m) and Shinji Okazaki (£7m), who Leicester were more likely to use as lone strikers than Vardy under Nigel Pearson and who played alongside Vardy as target men inClaudio Ranieri's 4-4-2 this past season. (A mooted £20m move for Watford forward Troy Deeneywould give them another player in that style.)Vardy was able to stay on the field for the vast majority of the season, which is difficult for any striker at the Premier League level. That's not to say he avoided injuries altogether: he played on with a cracked wrist after injuring it in August againstAston Villa, and missed a match in January after undergoing groin surgery before being suspended for the end of Leicester's remarkable title run after a red card.That run of fitness is also unlikely to re-occur given his age.Age is more than just a numberAs quickly as Vardy burst onto the scene as an elite striker, he's not particularly young. By the time he made it to Leicester in 2012, he was already 25; he will turn 30 halfway through the upcoming season.That's what makes it so difficult to believe that Vardy established a new level of performance that will be likely to stick in the years to come. Aging curves in soccer are still an inexact science, but research by Caleysuggests that Premier League footballers tend to peak around 26, with a drop-off and notable decline for attacking players coming around28. Vardy just took a dramatic leapforwardat 29. Aging curves are best fits and don't explain any one player's arc, but in termsof setting future expectations, having a breakout season at 29 is different than having one at 22.There are strikers in England, especially in the past, who were able to score regularly into their thirties. Rickie Lambert had 12 and 14 goals for Southampton during his age-30 and age-31 seasons. Yakubu scored 17 times the year he turned 30. Didier Drogba led the league with29 goals during his age-31 campaign. Mark Viduka chipped in with 15 goals as he turned 31. Those examples are few and far between, though, and there's a key difference between most of those players and Vardy.

Jul 13, 2016

Jul 8, 2016

iraq shrine attack: IS kills dozens in Balad

Suicide bombers and gunmen have killedat least 35people in an attack by so-called Islamic State (IS) at a Shia shrine in the Iraqi town of Balad.At least one bomber blew himself upoutside the mausoleum of SayidMohammed bin Ali al-Hadi, which was then stormed by gunmen, reports say.Another bomber is said to have blown himself upamong fleeing worshippers.Meanwhile the death toll from Sunday's suicide bombing in Baghdad has again been raised, from 281 to 292.Amid growing public anger over the truck bombing, Iraqi Prime Minister Haider al-Abadi fired the three top security officials inBaghdad on Friday.They werethe head of Baghdad's security command, the head of interior ministry intelligence for Baghdad and the official responsible for Baghdad in the national security adviser's office.IS said five of its members had carried out the raid on thesite in Balad. The militant group follows anextreme form of Sunni Islam and often targets Shias, who it regards as apostates.About 50 people were injured in the attack,police andmedical sources said.

POLISI WANNE WAUAWA DALLAS,MAREKANI

Maafisa wanne wa polisi mjini Dallas, Marekani wamepigwa risasi na kuuawa wakati wa maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi.Maafisa wa polisi katika mji ulio katika jimbo la Texas, wanasema mauaji hayo yametekelezwa na washambuliajiwawili wa kulenga shabaha.Msako mkali unaendelea kuwasaka washambuliaji hao, mkuu wa polisi wa Dallas David Brown amesema.Maafisa wengine saba wa polisi wamejeruhiwa, Bw Brown amesema.Wawili wamefanyiwa upasuaji wa dharura na mmoja yumo katika hali mahututi.

Ufyatuaji risasi ulianza waandamanaji walipokuwa wakipitia barabara za mji na kuwafanya waandamanaji kukimbilia usalama wao.Maandamano hayo yalitokana na kuuawa kwa wanaume wawili weusi, Philando Castile jimbo la Minnesota naAlton Sterling eneo la Baton Rouge jimbo la Louisiana.

SHOGA AIPONZA CLOUDS TV

MAMLAKA ya mawasiliano nchini (TCRA) imetoa onyo pamoja na kuutaka uongozi wa Clouds TV kuomba radhi Watanzania kupitia taarifa zake za habari ndani ya siku tano mfululizo kuanzia leo,Adhabu hiyo imetolewa leo na kamati ya Maudhui ya TCRA, baada ya baadhi ya wananchi hususani watazamaji wa kipindi cha ‘Take One’ kilichorushwa 28 Juni mwaka huu ambacho kilidaiwa kueleza masuala ya mapenzi ya jinsia moja (Ushoga), kulalamikiwa kwamba kilikiuka maadili ya taifa.Wakati akisoma tamko la adhabu hiyo, Joseph Mapunda, Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo amesema kuwa maamuzi hayo yamefikiwa baada ya wajumbe wakamati kutafakari maelezo ya utetezi yaliyotolewa na uongozi waClouds TV.“Tumetafakari kwa kina maelezo ya utetezi yaliyotolewa na clouds tv kuhusu kipindi chake cha Take One kilichorushwa hewani tarehe 28 June 2016 ambacho kilikiuka baadhi ya kanuni za maadili ya utangazaji,” amesema Mapunda.Ameongeza kuwa “kutokana na kipindi hicho kuwakwaza pamoja na kuwasababishia usumbufu wananchi hususan watazamaji kwa kuwasilisha mada inayozungumzia masuala ya mapenzi ya jinsia moja (ushoga), Clouds TV inatakiwa kuwaomba radhi watanzania wote na watazamaji.”Amesema taarifa ya kuomba radhiitoke siku tano mfululizo katika taarifa zao za habari ya saa moja na nusu na ya saa tano usiku kuanzia siku ya kusomwa hukumu, na kwamba uthibitisho wa taarifa hizo upelekwe TCRA siku ya Jumatano tarehe 13 Julai 2016 kabla ya saa kumi jioni.“ Hatua ya pili, Clouds Tv inatakiwakurekebisha mapungufu yaliyojitokeza na kuhakikisha inazingatia kanuni zote za utangazaji nchini katika kutekeleza majukumu yake ya utangazaji,” amesema na kuongeza.“Kamati inawaonya vikali Clouds tv kwa kukiuka kanuni za huduma za utangazaji (maudhui) ya mwaka 2005, namba 5(b), 5(c), 5(d) na 15(c) 16(2) uamuzi huu umetolewa leo, haki ya kukata rufaa dhidi ya uamuzi huu iko wazindani ya siku 30 tangu siku uamuzi unapotolewa.Ruge Mutahaba, Mkurugenzi wa Clouds Media Group amesema baada ya kutafakari tamko la adhabu atatoa msimamo wake kama wataka rufaa au la.“Tunaweza tukarudi nyuma na kusema tufanye kazi ya kukata rufaa, kwa sababu tunaamini na mimi nina simamia msimamo wangu kwamba tunapoambiwa tunalinda maadili ya kitaifa, kupinga jambo lolote baya ni kulinda maadili ya kitaifa,” amesema na kuongeza.“Sasa ukiambiwa kwamba ulipinga kwa namna ya ulivyo pinga ni tofauti kidogo labda inaweza ikasaida kutengeneza mjadala mkubwa wa kujiuliza maadili tunayotakiwa kuyalinda ni yapi.”Mutahaba amesema “Lakini moja kati ya kitu tunachokiona kina utofauti ni kuna baadhi ya mambo yamezungumzwa ambayo sikumbuki kabisa kama yako kwenye kipindi, kwa hiyo sijui wamezitolea wapi.”Amesema kuwa ushoga ni tatizo na kwamba lazima alikemee na ataendelea kulikemea.“Kwa ajili ya kosa la kutaja neno shoga katika kipindi cha njia panda mwaka 2000, miaka minne iliyopita kwenye gazeti tulivyosoma neno ushoga tukatozwa faini ya mil 5, haiwezekani miaka kumi na sita inapita kutaja neno shoga kila sikumtu anapewa adhabu,” amesema

Jul 6, 2016

MAPATO BANDARINI YAONGEZEKA ZAIDI

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kupungua kwa mizigo bandarini kumeathiri si Tanzania pekee bali dunia nzima na kwamba kubanwa kwa mianya ya wizi kumesababisha kuongezeka kwa mapato kutoka Sh bil 458 Aprili mwaka huu kufikia Sh bil 517. 

Aidha, TRA imesema itaanza uhakiki wa namba za utambulisho wa mlipakodi (TIN) kutokana na kuwepo watu wenye namba mbili na wasiohakiki watalazimika kudaiwa kodi na TRA. 

Akizungumza katika mkutano na wanahabari jana, Kamishna wa TRA, Alphayo Kidata alisema upungufu huo wa mizigo bandarini umezikumba pia bandari za Beira, Msumbiji, Mombasa, Kenya na kwingineko na kusababisha mapato kupungua. 

“Lakini sisi pamoja na upungufu wa mizigo bandarini makusanyo yanazidi kuongezeka kutokana na kuzibwa mianya ya kukwepa kodi, hivyo napenda kuwapongeza wafanyakazi wote wa mamlaka na kusema kwa sasa hakuna mtu anayeweza kukwepa kodi na wale waliozoea wakae katika njia kuu,” alisema Kidata. 

Kidata alisema wananchi wanatakiwa kuwaunga mkono kwani sasa kodi inaonekana katika kufanya shughuli za serikali kama kuboresha miundombinu pamoja na kutoa elimu bure. 

Alisema TRA imefikia na kuvuka lengo la makusanyo ya kodi kwa mwaka wa fedha 2015/16 kwa kukusanya Sh trilioni 13.8 sawa na asilimia 100.04 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 13.4 iliyokuwa imepangwa na serikali. 

Kidata alisema katika kipindi cha Juni mwaka huu, TRA imekusanya Sh trilioni 1.4 sawa na asilimia 107.83 ya lengo la kukuzanya Sh trilioni 1.3 ambapo makusanyo ya mwaka wa fedha 2015/16 ni sawa na ongezeko la asilimia 23.70 la makusanyo ya mwaka 2014/15. 

Akizungumzia mashine za kielektroniki za EFDs, Kidata alisema walipoanza utoaji mashine hizo zilikuwa 5,703 na mpaka sasa mashine 1,700 zimegawiwa kwa watumiaji na wataanza kupita duka hadi duka kuhakiki matumizi ya mashine hizo. 

Kamishna wa mapato ya ndani, Elijah Mwandumbya, alisema mwaka huu wa fedha wamejipanga kuhakikisha wanaondoa changamoto kwa mtu mmoja kuwa na TIN zaidi ya moja hivyo watafanya uhakiki.

Jul 5, 2016

TAASISI YA MARIDHIANO KUTAFUTA SULUHU KATI YA UKAWA NA NAIBU SPIKA

TAASISI ya Maridhiano inatarajia kuwasilisha ujumbe kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kuomba kuyakutanisha makundi mawili yanayosigana bungeni ili kuleta muafaka wenye tija kwa taifa.Mwenyekiti wa taasisi hiyo Sheikh Sadick Godigodi jana alisema kumeguka kwa Bunge kunakosababishwa na Kambi ya Upinzani kuona inaonewa na maamuzi ya Naibu Spika, Dk. TuliaAkson kunahitaji viongozi wa dini kuingilia kati na kupata suluhu."Tunatarajia katika Bunge lijalo litakaloanza Septemba kuwasilisha ujumbe kwa Spika ili tupewe nafasi ya kutatua mgogoro huu kwa maana wabunge wote wanatakiwa kuwepo bungeni kuwakilisha matatizo ya wananchi," alisema Sheikh Godigodi."Haiwezekani kundi moja likawa nje na jingine likaendelea, tunahitaji maridhiano ya pande zote mbili za muhimili huo.”Kambi ya Upinzani Bungeni ilisusia vikao vya Bunge la Bajeti kwa zaidi ya siku 70 kupinga kile kilichoita kuburuzwa naNaibu Spika katika uendeshaji wa chombo hicho cha kutunga sheria.Kambi hiyo, ilianza kutoka nje Mei 30 baada ya Naibu Sika kukataa hoja ya Mbunge wa Arumeru Mashariki, JoshuaNassari (Chadema), ya kutaka Bunge likatize shughuli zake na kujadili hoja ya kufukuzwa kwa wanafunzi zaidi ya 700 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom).Ingawa kitendo hicho cha Naibu Spika kiliwaudhi wabunge wa chama tawala (CCM) na Upinzani, kambi hiyo haikurudi ndani mpakaBunge lilipoahirishwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katikati yawiki iliyopita.Mshauri wa mambo ya kisheria nakidiplomasia wa taasisi hiyo ya Maridhiano, Agustino Matefu alisema mbali na kusuluhisha migogoro chochezi ya kidini kwa kutoa elimu sahihi kwa umma, pia wamejikita katika kusuluhisha migogoro sugu kati ya wakulima na wafugaji nchini.“Tumetoa mchango mkubwa wa kuleta suluhu ya migogoro ya ardhi baina ya wafugaji na wakulima mkoani Morogoro katikawilaya za Mvomero, Kilombero na Kilosa (na) ndio maana watanzania wanaona hali ni kama sasa imekuwa shwari,” alisema Matefu.Matefu alisema wamepata mualiko rasmi kwa uongozi wa Mkoa wa Iringa na wanatarajia kwenda huko baada ya uzinduzi rasmi wa taasisi hiyo utakaofanyika Julai 13 jijini Dar es Salaam.Katibu wa taasisi hiyo, Mchungaji Oswald Mlay alisema kuwa uzinduzi na utambulisho wa taasisi hiyo utaendana na utoaji tuzo ya amani kwa viongozi na watu mbalimbali waliojitoa kuhamasisha udumishwaji wa amani nchini.Wanaotarajiwa kupewa tuzo ni Mama Maria Nyerere kwa niaba yaHayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere ambae atatunukiwa tuzo ya Amani uasisi wa amani ya taifa.

Jun 15, 2016

BASI LA TAHMEED LATEKETEA KWA MOTO

Basi la abiria mali ya Kampuni ya Tahmeed, lililokuwa likitokea Jijini Tanga kuelekea Jijini Dar es salaam, likiteketea kwa moto mchana huu katika eneo la Komkonga.  Inaelezwa kuwa Ajali hiyo imetokea wakati Basi hilo likiwa limesimama baada ya Abiriammoja kuomba msaada tutani "WA KWENDA KUCHIMBA DAWA" ambapo baadhi ya Abiria wengine nao walishuka na kusikia harufu ya tairi linaloungua. muda mchache tu tairi hilo lilipasuka na moto kuanza kusambaa hadi kwenye tanki la Mafuta.Hakuna mtu yeyote aliepoteza Maishakwenye ajali hii na hakuna mali iliyoweza kuokolewa.

Jun 14, 2016

WAISLAMU WASAIDIA WAKRISTO KUJENGA KANISA

       Mji mmoja nchini Pakistan katika jimbo laPunjab, ambao ulipata umaarufu kutokana na vurugu zake dhidi ya makundi ya jamii ndogo umeleta watu pamoja kwa njia isiyo ya kawaida.Wakulima maskini wa Kiislamu katika kijijicha Gojra wanachanga fedha ili kusaidia katika ujenzi wa kanisa kwenye eneo lao.Lakini hali hii ya kuelewana na kuvumiliana kweli itawezekana katika eneo ambalo mara nyingi hutokea fujo zakidini

Jun 12, 2016

APATA KIPIGO BAADA YA KULA MCHANA HUKO PEMBA

Jana mchana, mtu mmoja kisiwani Pemba amejeruhiwa vibaya baada ya kupata kipigo kutoka kwa askari jamii. Mkasa huo umetokea katika kijiji cha Msingini Chake chake mkoa wa kusini pemba ambapo Polisi jamii wa Shehia hio waliamua kumpiga mtu huyo baada ya kuonekana akila mchana akiwa pamoja na wenzake watatu ambao walifanikiwa kukimbia na kutokomea kusiko julikana.

Jun 2, 2016

DIAMOND PLATNUMZ AMSAINI RASMI RICH MAVOKO

Mwanamuziki Diamond amemchukua rasmi mwanamuziki Rich Mavoko na sasa atakuwa chini ya lebo yake ya Wasafi ..Baada ya tetesi nyingi sasa leo rasmi amemtangaza mwanamuziki huyu kuwa chini ya lebo yakeAmeandika haya katika ukurasa wake wa Instagram

May 21, 2016

GARDNER AMJIBU LADY JAY DEE,AGOMA KUOMBA RADHI HADHARANI.soma barua ya wakili wake hapa

Hatimaye mtangazaji wa Clouds Fm, Gardner G. Habash amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya sikusaba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha. Katika majibu yake amekana madai hayo.Siku chache zilizopita, Gardner alionekana katika kipande cha Video akisherehesha tukio la kumsaka mrimbwende wa chuo cha Tanzania Institute of Accountancy (TIA) jijini Dar es Salaam, ambapo alisema kuwa “yule binti sina tatizo naye, nimeshamkojoza kwa miaka kama 15hivi…”, kisha wimbo wa ‘Ndindindi’ waJay Dee ukachezwa na DJ.Kama ilivyokuwa kwa Lady Jay Dee aliyetoa siku saba za kuombwa radhi kupitia kwa mwanasheria wake Amani Tenga, Gardner amejibu kupitia mwanasheria wake Stephen Axwesso.Katika barua yake kwa mwanasheria wa Lady Jay Dee, mwanasheria huyo wa Gardner amekiri kuwa ni kweli mteja wake alizungumza maneno hayo alipokuwa katika shughuli iliyotajwa, lakini alidai kuwa hakuna sehemu aliyomtaja mkewe huyo wa zamani.Alisema kuwa madai ya upande wa Lady Jay Dee hayana mashiko na alimshauri mwanasheria huyo kupitiaupya sheria inayozungumzia wanandoa waliotalakiana ili aweze kumshauri vizuri mteja wake kuhusu suala hilo.Nakala ya barua hiyo pia imetumwa Clouds Media Group na kwa Rais wa Wanafunzi wa Chuo cha TIA.

May 18, 2016

VANESA MDEE NA SHILOLE WALUSHIANA MATUSI INSTAGRAM

Ni juzi tu tuliona video ya msanii wa kimataifa vanessa mdee akimfundisha yai local artist Shishi baby salon cha ajabu ni leo ghafla wamenza kutupiana maneno uko instagram.

shilole alianza na ujumbe wa kwanza hapo chini Haikuchukua mda nae vanessa mdee amendika maneno hayo chini kupitia instagram account yake
        
"Nikupe KICKIII ujulikane au                  sio? Kila siku twanyamaza                  ndiyo mtugaragaze. Sit the                 f**k down.

Mimi sio wale uliowazoea. P.s: You ain't worth this post inashushwa sasa hivi"#MessageSent

May 16, 2016

MAKOSA YA MWANAUME YANAYOMFANYA MWANAMKE AMSALITI

Kuna sababu anuai zinazomfanya mwanamke amsaliti mumewe. Ni muhimu kutambua kuwa mwanamke ni kiumbe mwenye hisia kali na daima ahisi raha na amani. Baadhi ya nyakati hufanya usaliti ili kuziba pengo la upungufu unaotokea katika maisha yake. Zifuatazo ni sababu kubwa ambazo zinamfanya amsaliti mumewe:

1. KUTOMPA KIPAUMBELE NA KUTOMTHAMINI
Tunatambua kuwa mke anafanya kazikubwa sana ambayo lau kama ingekuwa ni kampuni basi pangehitajika watu zaidi ya 10 kuzifanya. Atamtunza mume, watoto, nyumba na familia kwa ujumla.Wakati fulani mume anaweza akampuuza na asimthamini, licha ya kujitoa kwa moyo wote kumtunza na kuihudumia familia. Hivyo, kutotoa kipaumble kwa mke ni kosa kubwa ambalo linaweza likamgharimu mume, mke akipata mtu anayempa kipaumbele na kumuonesha thamani hakika hataacha kuitumia hiyo fursa.

2. UKOSEFU WA MAHABA
Kwa asili mwanamke ana silika ya hitajio la kupendwa, mwanamke anahitaji kupendwa, mwanaume yeyeana silika ya kupenda ngono, ukimpa ngono tu basi anaridhika.Mwanamke anahitaji kupetiwapetiwa,anahitaji kudekezwa, anahitaji aambiwe maneno yenye ladha adimu yaliyochanganywa na vionjo vya ndimu, mwanamke anataka hivyo, anataka aone kama anapendwa, anataka aone mtu anamwambia vile alivyo, alivyo maridhawa, amueleze hisia zake, ampe lugha ya kimajnun, mwanamke anamtaka Majnun. Sasa akimpata mtu wa aina hiyo, tofauti namumewe, huwa ni balaa tupu, mnanipata hapo?

3.USALITI WA MUME
Miongoni mwa mambo ambayo huibadilisha roho ya mwanamke ni pale anapogundua kuwa mumewe kipenzi anamsaliti. Hapo mwanamke anaweza akabadilika kabisa. Wapo wanaosamehe, lakini wapo wanaolipiza kisasi.

4. KUTOJIAMINI
Mwanamke anahitaji mwanaume anayemfanya ajiamini iwapo mumewe hatekelezi jukumu hilo, akimpata mtu anayemfanya ajiamini, yanaweza kutokea mengine kabisa. Hivyo, nasaha zangu kwa kaka zangu kuyaangalia kwa makini mambo haya.

May 15, 2016

GIGY MONEY:NIPO KWENYE MAHUSIANO NA GARDNER MIEZI 6 SASA

MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo wa Clouds FM, Gardner G. Habash hachomokikwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita.

Gigy mefunguka haya baada ya picha zinazomuonesha akiwa kwenye mapozi yakimahaba na Gardner kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.

Giggy alisema mtangazaji huyo amekuwa mtu wa muhimu kwake kwa sasa.“Kwani kuna tatizo nikiwa na Gardner?
Yule ni mtu muelewa na sahihi kwangu, ninafikiri kupitia yeye nitajifunza mambo mengi na kuzidi kufanikiwa kwa sababu yeye ni moja kati ya watu ambao wako kwenye tasnia ya burudani kwa muda mrefu,” alisema Giggy Money.Gardner alipotafutwa ili aweze kueleza kuhusu ishu hii alisema:“Nipo karibu na Giggy lakini hatuna uhusiano wa kimapenzi, kwa hiyo kama anasema hivyo si kweli lakini yeye ni shabiki wangu na mimi ni mshabiki wake, ninapenda pia kazi anazozifanya,”.

KABAANG: WEMA SEPETU NA OMMY DIMPOZ KWA MARA NYINGINE TENA WAONEKANA KWENYE PICHA HIZI TATA

LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa amerudiana na

mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo

Muvi, Wema Sepetu kwa mara nyingine

ametengeneza habari, amedaiwa bado

anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa

Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’,

Hiyo imedhihirika hivi karibuni baada ya

kuvuja kwa picha mpya za wawili hao wakiwa

chumbani katika mapozi ya kimahaba huku

1)Picha moja wapo ilimuonesha Dimpoz akiwa

amemwekea miguu Wema mgongoni huku

nyingine akiwa ameegesha mkono kwenye

kalio kitendo ambacho kinaleta tafsiri ya mtu

na mtu wake.

Dimpoz amekuwa akiendelea ‘kujiweka’ kwa

siri jambo ambalo watu wengi hawalitambui.

“Mbona kitambo tu, Dimpoz amejiweka kwake

kiulaini, sema wenyewe wanafanya mambo

hayo kwa siri. Si mnajua Dimpoz si mtu wa

kutangazatangaza mambo yake na ndiyo

maana hadi Nay wa Mitego (Emmanuel Elibariki) akafikia hatua ya kumhisi vibaya

hadi kumuimba kwenye wimbo wake,”

kilisema chanzo

MAZINGIRA YA TUKIO

Chanzo hicho kilimwaga ubuyu kuwa, picha

hizo walipiga wenyewe chumbani, nyumbani

kwa Dimpoz, Kinondoni jijini Dar hivyo zilibaki

katika simu ya Dimpoz ndipo chanzo hicho

kilipozikwapua na kuzituma kwa paparazi

wetu.

“Bwana nakupa lakini msinitaje huko, nyie

kamilisheni mambo yenu lakini habari ndiyo

hiyo; Dimpoz na Wema ni kapo ya kimyakimya

maana wenyewe hawataki kuanika mambo

yao,” kilisema chanzo hicho.

WEMA ASAKWA

Baada ya kupata ubuyu huo, Reporter wetu

‘alimvutia waya’ Wema ili kumsikia

anazungumziaje picha hizo na uhusiano huo

unaodaiwa ni wa siri, simu yake iliita bila

kupokelewa lakini baadaye rafiki yake mmoja

alisema huenda hakupokea kwa kuwa siku

hiyo alikuwa safarini kuelekea Dodoma.

“Jana (Jumatano) aliniaga ana safari ya

Dodoma so (hivyo) nafikiri yupo njiani na

wenzake na pengine kelele za wasanii ndani

ya gari si unajua tena na kaenda na wasanii

wenzake wengi tu,” alisema rafiki huyo

ambaye hakupenda jina lake lichorwe

gazetini.

DIMPOZ HUYU HAPA

Baada ya kumkosa Wema, Repoter wetu

alimtafuta Dimpoz ambaye alikiri kuwa picha

hizo zilikwapuliwa kutoka kwenye simu yake

lakini akadai hawana uhusiano wa kimapenzi.

“Hizo picha nazijua, nakumbuka tulipiga

hapahapa Dar. Ilikuwa ni hotelini na si

nyumbani kama huyo mtu alivyowaambia

lakini kitu cha msingi unachopaswa kujua,

Wema ni mshikaji wangu wa karibu na hakuna

kitu kingine zaidi ya ushikaji. Kuna mtu

itakuwa kanifanyia umafia kwenye simu lakini

nitadili naye lazima nitamjua tu,” alisema

Dimpoz.

KUMBUKUMBU

Wema na Dimpoz walidaiwa kuanzisha

uhusiano wa kimapenzi, Februari, mwaka jana

walipokuwa wakirekodi video ya Ommy,

Wanjera nchini Afrika Kusini.

Picha zao ‘tata’ wakiwa chumbani zilizagaa

kwenye mitandao ya kijamii na kuripotiwa

katika vyombo vya habari.

Baada ya hapo, Wema aliripotiwa kutembea

na wanaume tofauti akiwemo Idris Sultan,

mshindi wa Shindano la Big Brother Africa.

VIJANA WANAOVAA SURUALI CHINI YA KIUNO KUCHAPWA VIBOKO 70

Wakazi wa Kata ya Karansi, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro wametoa uamuzi kuwa wanawake watakaovaa sketi fupi na vijana watakaovalia suruali chini ya kiuno, wataadhibiwa kwa kuchapwa viboko 60 hadi 70.

Uamuzi huo umefikiwa na wakazi zaidi ya 200 wakisema uvaaji huo ni kinyume na mila na desturi za Kiafrika.Vazi lingine lisilotakiwa kwa wanawake ni kuvaa suruali pamoja na vijana kunyoa ndevu mitindo isiyofaa.

Mkutano huo ulioandaliwa na wazee wa kimila jamii ya Meru (Wachili) na Wamasai (Malaigwani), uliwavutia wananchi wengi ambao walihudhuria.
Sambamba na uamuzi huo utakaokuwa unafanyika hadharani, pia adhabu hiyo itawahusu wezi wa mali na wanaopenda kucheza pool table wakati wa kazi.Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Wilbrod Mutafungwa alipinga uamuzi huo akisema kwa maazimio hayo ya kuwaadhibu watuhumiwa kwa kuwachapa viboko ni kujichukulia sheria mkononi na ni kinyume na sheria.

May 14, 2016

JE WAJUA WANAWAKE WANAVUTIWA NA NINI ZAIDI KWA WANAUME??

Kama mwanaume lazima upate wakati wa kujua unatakiwa kufanya nini kwa ajili ya kulifanya penzi lako lizidi kuchanua.

USAFI BINAFSI
Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda sana usafi. Ni aghalabu sana kukutana na mwanamke asiyejipenda. Ndiyo maana wanaitwamapambo ya nyumba au la nyumba! Ni kwa sababu ya hulka yao ya kupenda sana usafi.Mwanamke anavutiwa sana na mwanaume mtanashati. Usafi wako unamfanya ajiamini kuwa na wewe. Hata nyumbani kwako, lazima uishi katika nyumba safi. Hata anapokuja kukutembelea, anakuta mazingira masafi kuanzia sebuleni hadi chumbani.Anapokukuta katika hali ya usafi, inakuwa rahisi zaidi yeye kuanzia hapo alipokukuta na kuendelea mbele.

KUJIAMINI
Mwanamke anajisikia salama zaidi akiwa na mwanaume ambaye anajiamini – mwenye uwezo wa kutetea hoja zake na kujieleza sawia.Siyo anayebabaika. Suala la msimamo binafsi, kwa mwanamke nikubwa kuliko hata kumnunulia manukato mapya!Mathalani unakuwa naye katika mtoko, angependa kukuona ukiwa katika hali halisi ya maisha yako, usiyeyumbishwa na mwenye kutoa maamuzi yasiyoyumba.Wakati mwingine, mwanamke anaweza kukupima hata katika jambo ambalo amekosea yeye, ataangalia unavyotoa maamuzi yako,lakini pia atafuatilia kuona kama utakuwa mwepesi wa kuyabadilisha.Anataka kuona msimamo wako muda wote. Mwenye kujiamini na mawazo yasiyo na matege wala makengeza!

KUJITETEA
Kipengele hiki hakina tofauti kubwa sana na kilichopita, lakini hapa ni kwenye upande wa kujitetea zaidi. Wakati unapodai haki yako mbele ya mwanamke wako, suala la kujitetea linapewa nafasi kubwa sana.Wanawake hawapendi kuwa na wanaume ambao wapo tayari kuonewa. Wanataka wenye uwezo wa kusimama kidete kuona haki zao hazichukuliwi kirahisi.Hili si suala la kutetea tu haki yako pekee kama mwanaume, bali inapobidi kusimamia haki ya mwanamke wako. Nisieleweke vibaya katika hili, lakini mwanaume imara ni yule ambaye ana nguvu – anafanya mazoezi na ambaye yupo tayari kwa lolote!Inapowezekana, uwe na uwezo wa ‘kuzichapa’ ikiwa mtakutana na vibaka au watu wabaya wenye lengo wa kukudhuru/kuwadhuru au kumdhuru mpenzi wako.Mwanaume aliye ‘fiti’ ni chaguo la wanawake wengi. Si mnyonge. Mpole kupitiliza na aliye tayari kuonewa! Huyu hana nafasi.

KUJALI
Wanawake wanapenda sana wanaume wanaojali. Wanawaona wao ni kila kitu na wanaotoa kipaumbele kwao. Kama huna tabia hiyo, ujue upo katika nafasi kubwa yakumkwaza mpenzi wako. Mjali mpenzi wako kwa kila hali.Kumjulia hali kila wakati na kutaka kujua maendeleo yake, kutakupa nafasi kubwa sana ya kuendelea kudumu katika uhusiano hai.

UKARIBU
Kati ya vitu vinavyowapa mshawasha mkubwa wanawake ni pamoja na kusogezwa karibu. Hapa ni kuwa naye katika mambo mengi unayoyafanya kila siku.Ni vizuri kuwasiliana naye mchana, ukitaka kujua aina ya chakula alichokula siku hiyo au ikiwezekana mchagulie. Ni mambo madogo sana lakini yanayoongeza nakshi katika mapenzi.Yapo mengi sana ambayo kwa kuyafanya utakuwa umemsogeza mpenzi wako karibu yako. Hebu tumia ubunifu wako ili uweze kuteka hisia za mwenzi wako kisawasawa!

KUMSIFIA
Wanaume wengi hupuuzia hili, huonakama ni jambo lisilo na maana sana kwao na wenzi wao. Hali ni tofauti sana kwa wanawake ambao hupenda kuwasifia wanaume zao. Nitakupa mifano miwili ya namna wanandoa wa jinsia mbili tofauti wanavyotambulishana kwa jamaa zao.MWANAUME: “Peter kutana na mke wangu, anaitwa mama Diana. Nipo naye mwaka wa tatu sasa, tuna watoto wawili, huyo Diana na mwingine anaitwa Cris. Mama Diana,huyu ni Peter nilisoma naye A – Level, Tosamaganga Sekondari.”MWANAMKE: “Suzan, huyu ndiye mume wangu mpenzi...anaitwa Elifaraja lakini mimi napenda zaidi kumuita Elly. Kiukweli nampenda sana mume wangu jamani, tuna mtoto wetu mmoja, anaitwa Agness. (Akimgeukia mumewe) Baby, huyu hapa ni rafiki yangu Suzan. Yaani tumekua naye mtaa mmoja huko Arusha.”ANGALIA TOFAUTIBila shaka kwa namna wawili hao walivyotambulishana unaweza kuona tofauti kubwa. Mwanaume amemtambulisha mkewe kawaida kabisa, hajaonesha manjonjo au namna anavyompenda na kumthamini mwenzake, lakini mwanamke amefanya hivyo.Sikia nikuambie,

KUMSIFIA mwanamke, kuna nafasi kubwa sana kwake. Chunguza kwa makini, hata kunapokuwa na mgongano katika familia, halafu wakatokea wageni, baada ya utambulisho na mazungumzo ya hapa na pale, wageni wakiondoka kunakuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kumaliza mpasuko katika familia.Jenga utamaduni wa kumsifia mpenzi wako, unamuweka katika kilele cha upendo. Anajiona kamili, peke yake na mwenye nguvu kwako. Anajiamini na unamfanya azidi kukupenda kwa kuwa anaamini yupo na mwanaume ambaye anajivunia kuwa naye.

MALENGO
Wanaume wengi wana ulemavu mmoja; hawapendi kuwashirikisha wanawake katika mambo yao. Wanapenda kufanya mambo yao kwasiri na wakati mwingine ikilazimika kumwambia mkewe basi kwa mshtukizo baada ya kukamilisha jambo husika.Hii si sahihi. Dunia ya leo imebadilikarafiki zangu. Inawezekana wazee wa zamani walikuwa sahihi, maana ilikuwa ni suala la kununua ng’ombe na kuwaweka katika zizi kwenye kijiji cha jirani, halafu wanapewa malisho mazuri, baada ya miaka miwili wanazaliana, hapo ndipo anamweleza mkewe.Siku hizi dunia imebadilika, kuna mambo mengi. Kuna suala la hasara katika biashara, utapeli n.k. Mkeo ndiye rafiki yako mkubwa kuliko wote, ndiye ndugu yako wa karibu zaidi kuliko yeyote. Yes! Mkeo ndiye ndugu yako maana umetengeneza naye familia. Mmeshirikiana kuzaa watoto na kujenga maisha pamoja.Yeye anapaswa kujua mambo yako, ndiye mtetezi wako nambari wani. Mweleze juu ya malengo yako, wakati mwingine anaweza kukusaidia sehemu ambayo hukutarajia.Hata hivyo, kumshirikisha katika malengo yako, kunampa nguvu na nafasi ya kujiona mama katika familia yenu. Msaidizi kamili wa nyumba yenu.

KIPAUMBELE
Kuna wakati wanawake huwa na mambo yao binafsi. Kazini au kifamilia. Inawezekana akatatizika katika eneo fulani ambalo kwa namna moja ama nyingine atahitaji usaidizi wako. Ikitokea mkeo akawa katika hali hiyo, msikilize.Mathalani ana tatizo la kifamilia, amekuambia mmoja wa wazazi wakeanaumwa, msaidie. Si lazima kifedha, lakini kuonesha kujali kwakotu, kutampa matumani kwamba anaishi na mtu sahihi. Acha kupuuzamambo yake; hata yale madogo, kama ya ‘mtoto wa dada amerudishwa ada shuleni’.Msikilize, mshauri panapofaa kufanya hivyo na ukiweza msaidie hata kifedha. Katika upande wa pili nihivyo hivyo. Labda una tatizo binafsi,kazini kwako au kifamilia, mshirikishe.Unaweza kushangaa jambo ambalo uliamini unaweza kulimaliza peke yako, kwa kumshirikisha likawa jepesi zaidi na mambo yakaendelea vyema. Kipaumbele kwa namna yoyote ile,kunaongeza mapenzi zaidikwa mwanamke.TENDO LA NDOAHiki ni kipengele nyeti, kinachohitaji lugha nzuri ya kirafiki kukifafanua. Hakuna siri,tendo la ndoa ni moja ya kiwakilishi cha ndoa. Maana hata maandiko yanasema: “Mwanamke ataacha wazazi wake na kwenda kwamumewe, nao watakuwa mwili mmoja.”Kimsingitendo la ndoalina nafasi yake. Ni muhimu likaheshimiwa na kutengewa muda maalum wa kufurahia. Si papara. Kwa bahati mbaya wanaume huwa si wafuatiliaji sana wa kujua namna ya kuwafurahisha zaidi wenzao. Wenyewe wanajiwazia wenyewe. Wanafikiria namna ya kuwakomoa wenzao.Si sahihi.Tendo la ndoahalina maana ya kukomoana. Jenga mazoea ya kufanya maandalizi kamili kabla ya tendo. Sikiliza hisia za mwenzako. Ukiweza kumjulia mke wako katika eneo hili, ni wazi kwamba utazidisha upendo wake kwako, lakini pia atakuwa katika kuta za uaminifu. Akatafute nini nje wakati wewe ndiyemganga wake unayeweza kumtibu barabara?Kuna kitu nimesahau kweli? Kama kipo nitafute pembeni, kwa hapa haya yatoshe kukufanya uelewe nilichotaka kukuelekeza. Nikuache na neno moja; uamuzi wakuijenga ndoa yakoupo mikononi mwako. Ukitaka iwe shaghalabaghala, pia ni wewe tu!CHANGIA MTAZAMO NA MAONI YAKO JUUYA HII MADA..

INDIA JOURNALIST ARRESTED OVER MUSLIM YOGA BAN REPORT

A journalist in India is facing charges over a report he wrote saying Muslims were banned from being yoga teachers under government policy.Pushp Sharma's report appeared in March in the Milli Gazette, a newspaper aimed at India's Muslim community.It quoted what was said to be a government document that banned Muslims from travelling abroad to teach yoga for last year's World Yoga Day.Mr Sharma faces charges of fabricating the document, which he denies.His reportwas based on what he said was an official reply from a government ministry that promotes yoga and ayurveda medicine.The report said that, after several queries to the ministry, it replied saying that none of the 3,841 Muslims who hadapplied to become yoga teachers had been hired up to October 2015.A letter printed alongside the article, purporting to be from the ministry, said that 711 Muslims had applied to travel abroad as instructors during the first World Yoga Day last June, but none was selected "as per government policy".The letter does not include a government letterhead and contains a number of spelling mistakes, including an incorrect spelling of the word "yoga".The Milli Gazette confirmed Mr Sharma was arrested on Saturday morning. Its editor Zafarul-Islam Khan said the charges were "clear attempts to stifle the freedom of the press".Police in Delhi told NDTV that Mr Sharma was facing charges of "cheating,forgery and promoting enmity between different groups on grounds of religion or race".India's Prime Minister Narendra Modi, a yoga enthusiast who says he daily practises the ancient Indian art, lobbied the United Nations to declare 21 June World Yoga Day. The first event was heldlast year.His support for yoga, and creation of the new yoga ministry, was criticised as "a campaign to enforce Hindu rituals on all non-Hindus," one Muslim officialtold Reuters last year.After opposition from Muslim groups, a series of Hindu practices were dropped from the first World Yoga Day events in India.In response, a Hindu priest and MP for Mr Modi's BJP party, Yogi Adityanath, said anyone who opposed taking part should "live in a closed room or must jump into the sea".

May 13, 2016

MHUDUMU WA TRUMP ATAKA OBAMA AUAWE

Huduma ya ujasusi ya Marekani imeanzisha uchunguzi baada ya aliyekuwa muhudumu mkuu wa nyumbani kwa Donald Trump kutaka raisBarrack Obama auawe.Anthony Senecal aliandika katika mtandao wake wa Facebook kwamba Obama angechukuliwa na jeshi na kupigwa risasi kwa kuwa adui katika muhula wake wa kwanza.Bwana Senecal alimfanyia kazi bwana Trump,mgombea wa urais kupitia chama cha Republican kwa takriban miaka 30.Kampeni ya Trump hatahivyo ilijiepusha na matamshi ya Senecal.''Hakuajiriwa na Trump na hajaajiriwa tangu mwezi Juni 2009'', alisema msemaji wa kampeni ya Trump Hope Hicks katika taarifa.''Tunashtumu matamshi haya machafu kutoka kwa Senecal.Chapisho hilo la Bwana Senecal halikuwa hadharani.Na baadaye siku ya Alhamisi, bwana Senecal mwenye umri wa miaka 84 alikiambia chombo cha habari cha CNN kwamba Obama anafaa kunyongwa nje ya Ikulu ya White House.Pia aliitaja Ikulu ya White House kuwa ''msikiti mweupe''.

BOKO HARAM LINKS TO (IS) ALARM (UN)

The UN Security Council has said it is alarmed by ties between Nigeria's Boko Haram Islamist militants and the Islamic State (IS) group.
In a statement, it said Boko Haram - which pledged allegiance to IS in 2015 - continued to "undermine the peace and stability" in West and Central Africa.
Meanwhile, a senior US official said there were reports of Boko Haram fighters joining IS in Libya.
Nigeria is to host a summit on Saturday on fighting Boko Haram.
President Muhammadu Buhari will welcome counterparts from Benin, Cameroon, Chad and Niger for the gathering in Abuja, along with French President Francois Hollande, UK Foreign Secretary Philip Hammond and US Deputy Secretary of State Antony Blinken.
'More contacts'
In the statement, the 15-member UN Security Council expressed "alarm at Boko Haram's linkages with the Islamic State".
It also voiced its support for Nigerian President Muhammadu Buhari's "crucial initiative" to hold the security summit in Abuja.
Meanwhile, Mr Blinken - who is already in Nigeria - said he was concerned by reports that Boko Haram militants were going to Libya, where IS influence has grown in recent months.
"We've seen that Boko Haram's ability to communicate has become more effective," he said.
"They seem to have benefited from assistance from Daesh [IS]."
Mr Blinken added: "So these are all elements that suggests that there are more contacts and more co-operation, and this is again something that we are looking at very carefully because we want to cut it off."
At the same time, he declined to comment on whether the US would agree to a Nigerian request to sell it American war planes to fight Boko Haram.

WATOTO WALIWA NA FUNZA BABA YAO ADAI NI DHAMBI KUUA KIUMBE CHOCHOTE

WAUMINI wa Kanisa la Holy Ghost Tebernacle katika Kaunti ya Murang’aAlhamisi walimvamia mshirika mwenzao waliyemshitumu kwa kuwatesa watoto wake na uvamizi wafunza kwa 'kukataa' kuwatafutia huduma za kimatibabu.Washirika hao kutoka eneo la Kiamaihwa katika Kaunti ndogo ya Kigumo walidai kuwa muumini huyo wa kiume alikuwa akitii itikadi kali ambazo hupinga mauaji ya kiumbe chochote kilicho hai, wakiitaja kama “iliyopitwa na wakati”.Pasta Joseph Mwaura wa Kanisa hiloaliambia Swahilihub kwa njia ya simu kuwa “watoto wawili wa muumini huyo wake walikuwa wamevamiwa nafunza kila sehemu ya mwili na wakitembea ungedhani walikuwa wakicheza mchezo wa kuigiza uliohitaji wahusika kutembea kana kwamba wanacheza densi na kujikunakuna!”“Baada ya kupata habari hizo, waumini wenzangu wakiwa zaidi ya 100 walimvamia muumini huyo alipowakataza kutekeleza uokoaji huo wa watoto wake na kisha wakamwamurisha awatoe watoto hao nje watolewe funza,” akasema.Alisema kuwa watoto hao wote wakiwa ni wa kiume wa kati ya miaka 10 na 13 walikuwa wamevamiwa na wadudu hao na ikabainika kuwa hata hawakuwa wakienda shule.“Waumini hao walikataa katakata kumsikiza baba watoto hao akisema kuwa walikuwa wakimtakia laana kutoka kwa Maulana ikiwa angewakubalia waue funza hao!"Aliongeza kuwa aliteta vikali kuwa imani yake haingemruhusu kuua kiumbe yeyote aliyeumbwa na Mungu, akiongeza kuwa funza hao walikuwa wametumwa kukaa katika 'hekalu' - yaani miili ya wanawe.Funza kutumwa“Alituambia kuwa wadudu hao wametumwa ndani ya miili ya watoto wake na hakuna vile angeweza kupingana na tukio la kiroho. Alishikilia kuwa Mungu angewaamrisha watoke kutoka miili ya wanake atakapoamua kufanya hivyo,” akasema Pasta Mwaura.Baba huyo alidaiwa kubishana kuwa imani ya waumini hao waliomvamia kwake ilifaa kuwa ya kulisha watu kiroho wala sio kutibu magonjwa au kutekeleza uokoaji wa watu kutoka naukarimu wao kwa viumbe wa Mungu.“Alitulaumu kwa kupotosha waumini kuwa madawa ya kizungu ni suluhu kwa magonjwa, akiyataja kama uchawi wa Kizungu!,” akateta Pasta Mwaura.Aidha, bwana huyo alisisitiza kuwa hakuna mahali ndani ya Biblia ambapo Yesu alionekana akitafuta matibabu hospitalini.Hata hivyo, ubishi wake haukumfaa kwa lolote kwa kuwa waumini hao walifanikiwa kuwaokoa watoto hao ambapo waliwatoa funza hao na hatimaye wakapakwa dawa ya kutibu vidonda.“Aidha, waokoaji hao waliwapeleka watoto hao hadi hospitalini kwa matibabu zaidi ambapo walipewa dawa zaidi ya kupulizia nyumba yaoili kuuwa wadudu wanaosababisha uvamizi wa funza,” akasema pasta Mwaura.Alisema kuwa kuanzia Jumatatu ijayowatoto hao watasajiliwa shuleni na ambapo wamemuomba chifu wa eneo hilo kumwandama baba huyo ili atimize hilo.“Wakati umefika kwa waumini wa Kikristo kutupilia mbali itikadi ambazo zimewasababishia ujinga, magonjwa na umasikini,” akasema.ULIMWENGU WA PILI BADO UNASUMBULIWA NA FUNZA KWELI!!!ONLY IN KENYA

May 12, 2016

MZIWANDA:NILIWAFUMANIA MADEE NA SHILOLE LIVE..


Aisee hii hata mimi nilipitwa nayo ama kweli mimi mapenzi basi nimeyavulia Shati.

akuu mapenzi sio ubondia bora nijitoeLeo akihojiwa na Diva clouds Fm Mziwanda amekiri kuwa Madee alitembea na Shilole kipindi wapo wote na Aliwafumania na kumkuta mmoja wao akiwa hana nguo,Diva anakiri kusikia hizo habari ila alitaka Nuh athibitishe Nuh anasema inauma sana ila ana muheshimu sana Madee ana Muheshimu pia Shilole japo Inauma sasa wali kwichi kwichi na kuwafumaniaOyo nitakupigia nitakupia baadae noma noma noma sanaaaaaHapa Miguu pande hapa Say my name Shishi hapa Jike shupa oyooooo

YANGA YAPEWA PONGEZI

Uongozi wa Klabu ya Soka Yanga umetoa pongezi kwa wachezaji wake kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacon Tanzania kwa mara ya pili mfululizo.

Kauli hiyo imetolewa na Afisa Habari wa Yanga Jerry Muro, wakati akizungumza na Waandishi wa Habari katika Makao Makuu ya Klabu hiyo na kusema uongozi wa klabu hiyo unawashukuru wachezaji hao kwa kujituma pamoja na mashabiki wa soka wa klabu hiyo kuwaunga mkono kwa kuwashangilia kila michezo.

Amesema Jumamosi ya wiki hii timu ya Yanga itakabidhiwa Kombe lake katika Uwanja wa Taifa mara baada ya kumalizika kwa mchezo wake wa Ligi Kuu dhidi ya Ndanda FC.

Katika hatua nyingine Muro amesema maandalizi ya kuelekea Angola kwa ajili ya mchezo wa marudiano na timu ya Esperanca utakaofanyika Jumatano majira ya saa nane mchana kwa saa za Afrika Mashariki yanaendelea.

UVCCM WAGOMBANIA NYUMBA YA NYERERE MWANZA

Eneo la mapumziko ya Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, limegubikwa na mgogoro kati ya wakazi wa Kata ya Igoma dhidi ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kuhusu uhalali wa umiliki wa eneo hilo.

Ni mvutano wa miaka kadhaa sasa tangu mgogoro huo ulipoanza kurindima ambapo wakazi wa eneo hilo linalofahamika kama Mtaa wa Nyerere, wamedai kuwa mtaa huo upo chini ya umiliki wao tangu miaka ya 70, wakati wa harakati za Azimio la Arusha ingawa wakazi hao wamethibitisha kuwa wanao uhalali wa kuendelea kuishi katika eneo hilo, lakini Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Nyamagana mkoa wa Mwanza umeyapinga madai hayo.

Wakati mvutano huo ukiendelea, Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyerere Kata ya Igoma John Manoni, akatolea ufafanuzi juu ya mgogoro huo.

Tangu mgogoro huo ulipoanza kurindima miaka ya 70 hadi sasa, umesababisha wakazi wa mtaa huo kushindwa kuliendeleza eneo hilo, huku wakiiomba serikali kuingilia kati ili kutatua mgogoro huo.

SAKATA LA SUKARI:MAKONDA AAGIZA UPEKUZI WA MAKONTENA YA BILIONEA DEWJI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza kuchunguzwa kwa sukari kontena 115 ambayo ni zaidi ya tani 3,000 iliyokutwa katika Bandari Kavu ya PMM iliyopo eneo la Vingunguti.

Makonda alitoa agizo hilo alipofanya ziara ya kushtukiza katika bandari hiyo na kubaini uwepo wa sukari hiyo ambayo ni mali ya Mohamed Enterprises, ambayo kwa taarifa zake aliambiwa zilikuwa kontena 165.

Makonda ameziagiza Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) pamoja na Shirika la Viwango (TBS) kuichunguza sukari hiyo kutokana na sababu mbalimbali zilizojitokeza katika uwepo wa sukari hiyo kama sukari kuagizwa kutoka Dubai lakini imetoka Brazil na imepakiwa Dubai na upangwaji wa kontena hizo katika bandari hiyo.

“Nashindwa kuelewa kwa nini sukari iagizwe kutoka Dubai lakini itoke Brazil na kufungashwa Dubai, inaonesha inaweza kuwa imeshawahi kuisha muda wake hivyo nataka ichunguzwe na tunataka tujue kama Mohamed Enterprises anaficha sukari ili ipelekwe kwa wananchi kwa matumizi,” alisema Makonda.

Mbali na kutoa maagizo hayo, Makonda pia amezuia kutumika kwa sukari mifuko 22,000 iliyokutwa katika ghala la Mohamed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) lililopo Barabara ya Nyerere na kutaka wapeleke vielelezo kuhusu sukari hiyo kwa mamlaka zinazohusika kama ya matumizi yoyote.

WATU 35 KUTOA USHAHIDI KESI YA KUPINGA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI

KISUTU: Baada ya Kesi namba 3/2015 ya kupinga Matokeo ya Uchaguzi ya Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Jijini Dar es Salaam Maulidi

iliyofunguliwa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Iddi Azan (CCM) kuahirishwa kusikilizwa mara 3 mfululizo ndani ya wiki hii kwa sababu mbalimbali, Jaji Chocha kutoka Mahakama ya Mbeya ameahirisha tena kusikilizwa kwa shauri la kesi hiyo leo na kuipangia Mei 19 ya mwezi huu.

msingi

ya

Madai

kutoka nane, hivyo

kuahirishwa kwa kesi

baada ya Abubakari Salim Wakili wa upande wa Iddy

mahakama impe muda wa wiki moja wa kuandaa mashahidi

viapo, ambapo Jaji Choche alikubali.

Abubakari Salim

Upande wa Mshitakiwa

(Maulidi Mtulia Mb) umethibitisha kuwa na wenyewe watapeleka mashahidi 10, wakati upande wa mshitakiwa namba 2 na 3 (Mwanasheria Mkuu na Tume ya Taifa ya Uchaguzi), na wao watapeleka mashahidi 15.

Jimbo la Kinondoni waliojitokeza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

manne

Msingi

ya

Madai

katika kesi hiyo ni

Mbunge Mtulia haukuwa halali 2. Katika moja ya Kituo cha Uchaguzi, Mwangalizi wa CUF alipiga kura nyingi kwa ajili ya mbunge huyo, 3. Mawakala

Azani (CCM) walitolewa nje, 4. Unafuu kwa pande zote mbili.

DR.LIPUMBA:AWATETEA WAFANYABIASHARA

Rais Dk. Magufuli alipiga marufuku uagizaji wa sukari kutoka nje ya nchi bila ya kuwa na kibali cha serikali mapema mwaka huu ili kuondoa ushindani usio rafiki kwa viwanda vya ndani vya bidhaa hiyo, Prof. Ibrahim Lipumba, Mtaalam aliyebobea kwenye masuala ya Uchumi,amenukuliwa hivi karibuni akisema Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli anatumia cheo kuwanyanyasa wafanyabiashara.

Lipumba ameyasema hayo katika mahojiano ya moja kwa moja na Kituo kimoja cha Runinga hapa nchini wakati akichambua sakata la ufichwaji wa sukari nchini.

Amesema kuwa endapo angekua anakaa na Rais Magufuli angehakikisha kunakuwepo na utaratibu wa uagizaji wa sukari kwa watu ambao ni waaminifu ambao hawatakwepa kodi zilizowekwa na kuagiza sukari ili pamoja na gharama na faida iweze kuuzwa kwa bei ya Tsh 1,800 ili viwanda vya ndani vinavyozalisha sukari viweze kulindwa.

“Tuepukane na kufanya mambo mazito ya sera kwenye majukwaa ya siasa na kuwatisha wafanyabiashara katika hali ambayo haiendani na hali halisi iliyopo” amesema Prof. Lipumba.

Hayo yanakuja siku chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutangaza kutaifisha tani za sukari zitakazokamatwa zikiwa zimefichwa na wafanyabishara kwenye maghala na kisha kuzigawa kwa wananchi bure.

Hata hivyo imeripotiwa hivi karibuni kuwepo kwa malalamiko ya kupanda bei ya sukari kutoka kikomo cha bei elekezi ya shilingi 1800 kwa kilo hadi kati ya 2,500 na 2,800.

INSTAGRAM YAZINDUA NEMBO MPYAA

Instagram imezindua nembo mpya katika hatua ya kutaka kujiboresha na kutoonekana kuwa programu ya picha pekee.Nembo hiyo imetengezwa kuimarisha ujumbe unaotumwa.Nembo hiyo inaonyesha kamera ya kawaida na rangi za upinde wa mvua.Zaidi ya picha milioni 80 na video husambazwa kila siku katika Instagram.Mtandao huo una takriban wateja milioni400 na uliipiku Twitter mwaka 2014.Wakati Instagram ilipoanza ,ilikuwa eneola kukarabati na kusambaza picha,kampuni hiyo ilieleza.Miaka mitano baadaye,ni eneo linalopendwa na jamii kubwa ulimwenguni ambapo watu husambaza picha na video.Watumiaji pia watagundua kwamba eneo la bluu katika nembo ya mtandao huo limeanza kubadilika na kuwa jeupe.Mtindo huo mpya una lengo la kuimarisha picha na video zinazotumwa bila kubadilisha unavyoingia katika mtandao huo.Ubunifu wa nembo hiyo mpya ulianza mwaka mmoja uliopita ,instagram iliambia Newbeat.Tulitaka kutengeza nembo ambayo ingewakilisha mahitaji ya awali ya sasa na ya siku za baadaye.

May 11, 2016

MADHARA YA KUPENDA USIPOPENDWA

Mapenzi si kamari, ridhia kwa moyo! Ni sentesi ambayo kama mtu akitafakari kwa kina kuna kitu kitaingia kichwani kwake, kuna baadhi ya watu huwa wanabahatisha katika mapenzi, unakuta mtu anakuwa na mpenzi bila kujua kama anapendwa kweli.

Mapenzi ni ridhaa, yanatokea moyoni,

Unajua moyo wako ndiyo wenye uwezo wa kufanya uchaguzi sahihi na si uchaguzi bali uamuzi wa moja kwa moja, maana moyo ndiyo wenye uwezo wa kupenda na kuhifadhi pendo ndani yake, kabla hujaanzisha uhusiano jaribu kuzingatia yafuatayo kwani Mapenzi ya kulazimisha yana madhara kama ambavyo Mtembezi Mahaba inakudadavulia.

MOYO WAKO UMEMPENDA? Suala la mapenzi uhusisha moyo zaidi, moyo wako ndiyo mwamuzi wa mwisho katika hilo, hata siku moja usikubali kulazimisha moyo wako kwa mtu ambaye hujaridhia kuwa naye, hivyo achana na imani kwamba ukimkataa kijana fulani basi bahati inaweza kukupita; nani amekudanganya?

SI KAMARI

Utakuta msichana anaingia katika uhusiano na mwanaume ambaye hana mapenzi naye ya dhati lakini kwa kuwa mwanaume huyo ana mali na uwezo wa fedha, huamua kumkubali kwa misingi ya kuwa na tamaa ya mali zake, hufanya hivyo akijidanganya kuwa atajifunza kupenda akiwa ndani ya uhusiano na mwanaume huyo kwa maneno mengine, anajidanganya kwamba atacheza kamari ya mapenzi.

MADHARA YA KAMARI YA MAPENZI!

Yapo mengi, lakini kubwa ni lile la kutotosheka na mpenzi uliyenaye; anaweza akakupa kila kitu lakini ukakosa penzi la dhati, ambalo ndiyo msingi wa mapenzi.

Mapenzi ya kweli siku zote utajisikia mwepesi na huru kwa mwenzako, madhara makubwa zaidi ni pale utakapojikuta ukiingia katika uhusiano na mwanaume mwingine kwa ajili ya kusaka penzi la dhati! Unajua kitakachotokea?

Kama hutaleta magonjwa ndani basi siku moja utafumaniwa, kuna siku lazima utafukuzwa nyumbani kwa mwanaume huyo na kama ana hasira, anaweza kukufanyia kitu kibaya, hivyo ni vyema kufanya uamuzi wa busara kwa kuwa na mahusiano na yule akupendaye.

KASI YA MAGUFULI YAWAANDIKISHA BARUA ZA KUJIUZURU WATUMISHI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na

Simbachawene amesema kasi ya Rais Dkt John

tayari watumishi wameanza kuandika barua za kuomba kujiuzulu na kutafuta kazi sehemu nyingine.

Waziri Simbachawene ameyasema hayo ingawa hajataja majina ya watumishi hao na halmashauri wanazotoka, katika kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV na

ameshapokea

kutoka

watatu

ambao hawana

kiutendaji

barua ya kuomba kuachia kazi hizo.

”Kasi ya Rais Dkt. Magufuli haitawaacha watumishi

kufanya kazi kwa maana mazoea kazini hayapo

nimeshapokea

watatu wakiomba kujiuzulu nyazifa zao na kweli kama kuna kiongozi anaona hataweza kwenda na kasi ya Rais na Wizara yangu ni bora aondoke mapema kabla

nitawatumbua

Chawene.

MSANII KINYAMBE AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah  "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwako Mbeya.

Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameithibitishia saluti5 kuwa msanii huyo wa filamu  ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa.

"BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA MUNGU LIHIMIDIWE".

MUIMBAJI SHILOLE ATAJA MPENZI WAKE WA SASA

Uking’atwa na nyoka ukiguswa na jani lazima utaruka.Baada ya kuvunjika kwa mahusiano na Nuh Mziwanda, taarifa za chini zimezidi kuenea kuwa Shilole ana mahusiano ya kimapenzi na msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Nerd aliye chini ya label ya Ommy Dimpoz, PKP.Akiongea kwenye kipindi cha Busati, kinachoruka kupitia Magic FM, Shilole amesema hana mpenzi kwa sasa.“Mimi mpenzi wangu ni hela, Nerd ni rafiki yangu. Ukiwa kwenye mapenzi unakuwa kama kipofu unakuwa hauoni. Ukimkabidhi mtu moyo wako anakuwa anaufinyanga, kwa sasa moyo wangu umestawi tofauti na zamani,” aliongeza.Hata hivyo Shilole amesema hana namba ya Nuh Mziwanda na hajawahi kuwasiliana naye tangu walipoachana. Kwa sasa muimbaji huyo ana wimbo mpya uitwao Say MyName.

BINTI WA MIAKA 19 ANAEDAI KUA NA MIMBA YA PAPA WEMBA AJITOKEZA HADHARANI

Binti wa miaka 19 anadaiwa kuspend one night on the same bed na Hayati Papa Wemba amekua gumzo kwenyemitandao ya kijamii ndani na nje ya Congo(D.R.C) akidai kuwa na ujauzitowa Mfalme huyo wa Rhumba aliefarikiApril 24 mwaka huu baada ya kuanguka jukwaani jijini Abidjan nchini Ivory Coast.Picha zinazodaiwa kuwa copied kutoka kwenye akaunti za social media za binti huyo,zinamuonesha akiwa kwenye pozi tofauti za kimahaba na Papa Wemba,picha ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku baadhi ya picha hizo zikionesha tumbo lake na nyingine zikimuonesha akikiss na Hayati Papa Wemba.Mpaka sasa hakuna taarifa yeyote rasmi kutoka kwenye familia ya Papa Wemba juu ya madai ya binti huyo ambae baadhi ya mashabiki wa Mfalme huyo wa Rhumba wameahidi kumsaidia kwa lolote hadi atakapojifungua.

HARMONIZE:MIMI NA DIOMOND TUNATOFAUTI

Kwenye miaka ya 2000 staili ya kuchana ilishika hatamu ambapo msanii kama TID, Mangwea, Profesa J, Juma Nature, Fid Q, Afande Sele na wengine kibao walitikisa game ya muziki wa Bongo Fleva huku kila mmoja akiwa na staili yake inayomtambulisha na kufanya wajulikane na kupata umaarufu.

Hivi sasa game ya Bongo Fleva dizaini kama ladha unapotea siku hadi siku kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wasanii kuigana sauti kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya mashabiki wa muziki huo, Hit Maker wa wimbo wa Aiyola kuwa moja kati ya wasanii wanaomuiga sauti Star wa Bongo ambaye pia ni meneja wake DIAMOND PLATNUMZ kupitia 255 ya XXL Harmonize amesema

“Ukizungumzia Diamond unazungumzia mtu ambae anamelody ya malalamiko ambayo zimeganda kwenye vichwa vya watu wengi kwa hiyo ukiimba malalamiko lazima utafananishwa, lakini huu ni wakati mzuri wa kutambua huyu ni Harmonise huyu ni Diamond”

Baada ya kufanya kolabo ya ngoma ya Bado iliyobamba na kumuweka Harmonize katika nafasi nzuri kimuziki hivi karibuni amezawadiwa gari aina ya Mark X kutoka kwa uongozi wa WCB.

JE UNAJUA KAMA KUFLASH SIMU NIKOSA LA JINAI?

Kumekuwa na tabia kwa baadhi ya watu ‘kuflash’ simu kunakosababishwa na sababu kadha wa kadha; katika zama hizi za utandawazi vitendo vya watu kuporwa simu za mkononi vimeripotiwa kwa kiasi kikubwa na wengi wao waliona kuwa njia sahihi nikuziflash ili zitumiwe na mtu mwingine bila kujua kuwa ni kosa la jinai kutokana na sheria za mtandao.

Hayo yamebainika wakati zimesalia siku 36 pekee ili Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) kuzima simu zote ambazo hazijakidhi viwango huku Meneja Mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy akisisitiza watu kuacha mara moja tabia hiyo kwani kwa kufanya hivyo kutapelekea simu zao kuzimwa ifikapo June mwaka huu kwa kuwa tayari zitakuwa zimetolewa ubora wake.

“Unapoflash simu lazima fundi atakubadilishia Software zilizokuwepo toka mwanzo alafu utakuwa umeharibu ubora wa kile alichotengeneza mwanzo hivyo kutokana na sheria za umiliki unakuwa umetenda kosa la jinai”. Alisema Mungy

Mamlaka ya Mawasiliano imetoa rai kwa wanaonunua simu za mkononi kwa wakati huu wa lala salama kuwa makini kwa kuangalia namba za IMEI kwa kuwa kuna baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu wanapunguza bei za simu feki.

BAADA YA MIAKA 46 YA NDOA MWANAMKE MWENYE UMRI WA MIAKA 70 AJIFUNGUA

Baada ya miaka 46 ya ndoa, mwanamke mwenye miaka 70 amejifungua mtoto wa kwanza huko India..Daljinder Kaur amejifungua mtoto wa kiume baada ya kupata matibabu ya IVF kwenye kliniki za uzazi huko India.Kwenye picha akiwa na mume wake wa miaka 79, Kaur alisema yeye na mume wake walikuwa karibu kukata tamaa ya kupata mtoto kutokana na umri wao na kuona Kama Mungu amewalaani wasipate mtoto.Alisema hatimae Mungu amejibu maombi yao na wamepata mtoto na sasa wanajiona wamekamilika.Aliendelea kusema kuwa yeye na mume wake watamlea mtoto wao wenyewe kwasababu huyo mtoto amewapa nguvu mpya katika maisha.Pia anawasihii wote wenye changamoto za uzazi wamuombe Mungu bila kuchoka.... Aliongezea kusema....".....I can't wait to b a grandma!!